- MKUTANO.
Sasa MBAGALA yooooote SUKUMA KWA YESU, Ule Mkutano mkubwa wa Injiri utakao fanyika kwa kishindo pale katika Viwanja vya TAG Kichenchem, Nyuma ya Dispensary ya BAKWATA, Chini ya Rev. Haruni A. Mbaigwa. Utakao anza Jumapili Tarehe 4.11.2018 hadi 11.11.2018. Wahubiri sasa, Wahubiri ni Baba na Mwana kiroho na kimwili, ambao ni Mch. Isaack Soga na Mwnj. Gideon Soga watawasha moto wa YESU Kristo kwa siku nane (8). Wagonjwa wote SUKUMA KWA YESU, Wenye shida wote SUKUMA KWA YESU. USIPANGE KUKOSA, MWAMBIE NA MWENZIO KWAMBA MBAGALA YOTE TUNASUKUMA KWA YESU.